Natafuta KIKI ya Pikipiki yangu aina ya Honda 110

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2010
Posts
4,830
Reaction score
4,729
Kiki ya Pikipiki yangu aina ya Honda 110 imevunjika na imevunjikia sehemu ambayo haiwezekani kuchomelea, nimezunguka maduka kadhaa sijapata, naomba kuelekezwa maduka ya Dar ambapo naweza kupata.
Heshma kwenu.
 
Mkuu na shida na hiyo 110,niuzie ntakua nashtua tu
 
KIKI za aina hiyo anazo magufuli
 
Kiki ya Pikipiki yangu aina ya Honda 110 imevunjika na imevunjikia sehemu ambayo haiwezekani kuchomelea, nimezunguka maduka kadhaa sijapata, naomba kuelekezwa maduka ya Dar ambapo naweza kupata.
Heshma kwenu.
Hehe wanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…