Duh Mkuu hiyo kitu imenikumbusha mbali sana, Kulikuwa na Mzee jirani yetu, Miaka hiyo ya nyuma, alikuwa akifanya kazi rwele (TRC), alikuwa na Sharubu za haja na kutwa yupo na Kiko yake mdomoni, alikuwa akijiita Mdachi (Mjerumani) .....................Jamani natafuta kiko (mtemba wa kuvutia tumbaku). Babu yangu anasema atanipa laana nisipomletea. Nimejitahidi kumweleza madhara ya tumbaku lakini kasema ameanza kuvuta tangia zama hizo. Kiko chake kimevunjika na hakifai tena anasema alikinunua wakati wa azimio la Arusha. Nimepita madukani hakuna nimeona bure nije hapa, hata kama babu yako alikuachia urithi we niuzie nikamfurahishe babu yangu.
Arusha vipo mkuu jaribu kucheki na watu wa Arusha wakusaidie
Una idea Arusha sehemu gani? Maana kwa kweli nikikipata babu yangu atacheza kiduku siku siku hiyo
Arusha vipo mkuu jaribu kucheki na watu wa Arusha wakusaidie