natafuta kitabu

natafuta kitabu

Ngambo Ngali

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2009
Posts
3,517
Reaction score
1,363
Wanajamii natafuta kitabu kimoja kizuri na detaild cha historia tulikuwa tukikisoma zamani sana mashuleni.

Kitabu hicho kinaitwa a Short History of Tanzania na Kimetungwa na Mwanahistoria nguli aitwae Prof Kimambo, nadhani ni kitabu pekee kinachoelezea jinsi ambavyo babu zetu walidanganywa na kunyang'anywa ardhi kuelekea ukoloni enzi hizo.

Kitabu hiki kitanikumbusha mambo yanayotokea hivi sasa.
 
Back
Top Bottom