Natafuta kitana kizuri cha mbao Dar

Natafuta kitana kizuri cha mbao Dar

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Guys nina hela hapa,

Leo nimesema nimuungishe mwana hapa uwe humu JF

Usiniconect na mtu nawajua hapo Keko

Uwe unauza wewe kizuri mbao bora kabisa

Nipo hapa kisuma kama karibu na temeke nakifata sasa hivi kama ni mbali nifanyie delivery
Yaani leo leo

6*6

Mbao nzuri mnaita mninga sijui
 
Guys nina ela hapa
Leo nimesema nimuungishe mwana hapa uwe humu jf
Usiniconect na mtu nawajua hapo keko
Uwe unauza wewe kizuri mbao bora kabisa
Nipo hapa kisuma kama karibu na temeke nakifata sasa hivi kama ni mbali nifanyie delivery
Yaani leo leo
6*6
Mbao nzuri mnaita mninga sijui
Kisuma 🧐
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    1.6 MB · Views: 6
Guys nina ela hapa
Leo nimesema nimuungishe mwana hapa uwe humu jf
Usiniconect na mtu nawajua hapo keko
Uwe unauza wewe kizuri mbao bora kabisa
Nipo hapa kisuma kama karibu na temeke nakifata sasa hivi kama ni mbali nifanyie delivery
Yaani leo leo
6*6
Mbao nzuri mnaita mninga sijui
Upo bar unaagiza kitanda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ushalewa wewe ,rudi kwenu ukapumzike sasa.
 
Guys nina ela hapa
Leo nimesema nimuungishe mwana hapa uwe humu jf
Usiniconect na mtu nawajua hapo keko
Uwe unauza wewe kizuri mbao bora kabisa
Nipo hapa kisuma kama karibu na temeke nakifata sasa hivi kama ni mbali nifanyie delivery
Yaani leo leo
6*6
Mbao nzuri mnaita mninga sijui
Upo bar unaagiza kitanda 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ushalewa wewe ,rudi kwenu ukapumzike sasa.
 
Guys nina hela hapa,

Leo nimesema nimuungishe mwana hapa uwe humu JF

Usiniconect na mtu nawajua hapo Keko

Uwe unauza wewe kizuri mbao bora kabisa

Nipo hapa kisuma kama karibu na temeke nakifata sasa hivi kama ni mbali nifanyie delivery
Yaani leo leo

6*6

Mbao nzuri mnaita mninga sijui
Kitana cha sita kwa sita unachania nywele gani?
 
Back
Top Bottom