Habari wakuu,
Nimeandaa eka 2 ajili ya kupanda kitunguu swaumu. Sasa nilipotegemea kupata mbegu imeshindikana.
Basically nahitaji kitunguu swaumu kilichovunwa mwaka jana. Kinakua kimekomaa na kimekauka.
Msaada wa haraka unahitajika, maana vijana shambani wamekaa bure na nahitaji kuwahi kupanda ili mvua zisikute kitunguu shambani.
Asanteni.
Nimeandaa eka 2 ajili ya kupanda kitunguu swaumu. Sasa nilipotegemea kupata mbegu imeshindikana.
Basically nahitaji kitunguu swaumu kilichovunwa mwaka jana. Kinakua kimekomaa na kimekauka.
Msaada wa haraka unahitajika, maana vijana shambani wamekaa bure na nahitaji kuwahi kupanda ili mvua zisikute kitunguu shambani.
Asanteni.