Lady niece
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 953
- 414
HABARI
Mdogo wangu hajafanikiwa amepata ufaulu wa div 4 point 37 na amekosa somo mawili la
english na history hivyo tunatafuta kituo ambacho kiko karibu kwa hapa dar ili niweze
kumlipia tena afanye tena hayo masomo kwani anayapenda sana nisaidieni marafiki
wapi nitapata kituo na ni bei gani kwa kituo jamani nijibu sasa kwani siku zimekwisha
na sitaki apewe penalty ya kulpia huo mtihani
nasubiri
Nitafute kwa namba 0764766940. Me ni mwal hapa dar . Tunaweza msajil kituon kwetu.na mi pia ni mwalimu wa masomo hayo,tutamsaidia kadri tutakavyo weza.
Ni wewe sio mdogo wako, acha kudanganya.
HABARI
Mdogo wangu hajafanikiwa amepata ufaulu wa div 4 point 37 na amekosa somo mawili la english na history hivyo tunatafuta kituo ambacho kiko karibu kwa hapa dar ili niweze kumlipia tena afanye tena hayo masomo kwani anayapenda sana nisaidieni marafiki wapi nitapata kituo na ni bei gani kwa kituo jamani nijibu sasa kwani siku zimekwisha na sitaki apewe penalty ya kulpia huo mtihani.
Nasubiri