Habari wakuu, nimekuja kwenu nikiwa na uhitaji wa kiwanja kwa maeneo ya dar. Sitaki chanika Wala chamanz, pendekezo langu ni kimara, mbezi hadi kibamba, kiluvya nk (target morogoro road)
Offa yangu ni milion 5, kama pesa ikizidi basi nitalipa kwa awamu.
Muuzaji nitumie namba yako nikupigie
Offa yangu ni milion 5, kama pesa ikizidi basi nitalipa kwa awamu.
Muuzaji nitumie namba yako nikupigie