Natafuta kiwanja Dar

zipumbovu

Member
Joined
Nov 27, 2023
Posts
22
Reaction score
344
Habari wakuu, nimekuja kwenu nikiwa na uhitaji wa kiwanja kwa maeneo ya dar. Sitaki chanika Wala chamanz, pendekezo langu ni kimara, mbezi hadi kibamba, kiluvya nk (target morogoro road)
Offa yangu ni milion 5, kama pesa ikizidi basi nitalipa kwa awamu.

Muuzaji nitumie namba yako nikupigie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…