Babu Kijana
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 587
- 276
Wakuu natafuta kiwanja maeneo ya Kinyerezi kilichopimwa kwa size ya 30 kwa 25, bajeti yangu haizidi 10mil naomba mwenye kujua tuwasiliane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusichoke mkuu huwezi kujua mahitaji hubadilikaUkipata kwa hyo bei nishtue , mwaka 2016 kipindi vyuma vimekaza nilitafuta chenye ukubwa wa hivo sikupata na nilikuwa na milion 15
Kwa kinyerezi sidhani kama utapata. Ninacho 30x28 Mbezi kimara nauza 18MWakuu natafuta kiwanja maeneo ya Kinyerezi kilichopimwa kwa size ya 30 kwa 25, bajeti yangu haizidi 10mil naomba mwenye kujua tuwasiliane
Yes unaweza kupata kama zaliTusichoke mkuu huwezi kujua mahitaji hubadilika
Kweli huko ni Daslam, yaani Kinyerezi maporini huko Kisarawe ndio mtu anatafuta plot kwa 18m na hapati?Kwa kinyerezi sidhani kama utapata. Ninacho 30x28 Mbezi kimara nauza 18M
Mkuu wengi tumeweka kambi hapa. Toa mawasiliano biashara ifanyike.Mm Ninacho m35
Akina maelezo
Wakuu natafuta kiwanja maeneo ya Kinyerezi kilichopimwa kwa size ya 30 kwa 25, bajeti yangu haizidi 10mil naomba mwenye kujua tuwasiliane