Natafuta kiwanja maeneo ya bagamoyo road wakuu

Mohamedex121

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2022
Posts
1,725
Reaction score
3,271
Habarini ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Wakuu natafuta kiwanja ukubwa futi 50*40 maeneo ya bagamoyo road bei kuanzia million moja hadi mbili

Natanguliza shukurani
 
Million 1 au Mbili? bagamoyo road barabarani sidhan kama hiyo bei inatosha
 
Ft 50*40 ni kidogo sana mkuu
Angalau upate 80*80 Ft la sivyo ukimaliza kupiga msingi na eneo lako limeisha
 
Nadhani anamaanisha kiwanja cha barabarani wilaya ya Bagamoyo, sio hii Bagamoyo road ya Dar🤔
 
Eneo lenye wingi wa Matapeli wa Viwanja 🤣🤣🤣😂we jichanganye tu...
Halaf hamna viwanja vya chini Million 5 huko
 
Tahadhari kubwa sana ichukuliwe na mtoa mada wakati wa mauziano ya kiwanja husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…