Natafuta kiwanja maeneo ya Kibugumo Kigamboni, Bajet 2.5M

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Habari Wana jukwaa

Natafuta kiwanja BAJETI 2.5M, maeneo ya kibugumo Kigamboni,
 
Ni sababu hauko serious.Kiwanj kibugumo kwa 2.5mill?Kibugumo pale sahivi sqm moja elf 20 hadi 25.Sasa we mill mbili labd kama unatak buyuni....napo shamba...sio kilichopimwa.Kwa budget yako uliza Chamazi Mbagala kule utapata kwa hiyo bei
 
Ni sababu hauko serious.Kiwanj kibugumo kwa 2.5mill?Kibugumo pale sahivi sqm moja elf 20 hadi 25.Sasa we mill mbili labd kama unatak buyuni....napo shamba...sio kilichopimwa.Kwa budget yako uliza Chamazi Mbagala kule utapata kwa hiyo bei
Sawa
 
Kibugumo mimaji mingi na skwata kibao
Why usiongeze hela uchukue kiwanja kidete
Au hata mbutu hutakosa Kwa milioni 4
 
Kibugumo mimaji mingi na skwata kibao
Why usiongeze hela uchukue kiwanja kidete
Au hata mbutu hutakosa Kwa milioni 4
 
Mwasonga na Kijaka? Hata huko 2.5m utapigwa tu ,wengi wanaouza bei hizo ni matapeli ,mwenye kiwanja hawezi kuuza kwa bei hizo.
Nimekuambia kisarawe 2, mwasonga mbali. Mi ninacho njoo nikuuzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…