Samahi mm mgeni humu ndani sijui km nipost sehemu sahihi.
Nahitaji msaada km kuna mtu ana kiwanja Morogoro mjini kwa ajili ya kujenga nyumba ya kawaida tu, (aniuuzie isiwe nje sana ya mji mfano ikiwa 7 to 8 km from ofisi za manispaa ni vema zaid.Pia nahitaji nyumba ya kupanga Morogoro mjini pia iwe ya familia moja au km kuna familia nyingine basi kusiwe na kuchangiana..sifa za nyumba iwe na 3bedrooms.sitting room.kitchen na iwe na fensi pia parking.Asnteni
Kwa kiwanja utapata. Kiwanja kipo kihonda kilimanjaro. Ni surveyed plot ukubwa ni 948sqm kina offer. Bei ongea nami 0713239045. Karibu morogoro
Kwa kiwanja utapata. Kiwanja kipo kihonda kilimanjaro. Ni surveyed plot ukubwa ni 948sqm kina offer. Bei ongea nami 0713239045. Karibu morogoro
Naomba namba yako ya simu. . Na mimi nikutafute namba yangu 0756361511
Kiwanja kipo bigwa Nitafute inbox
Ukitaka shamba nipm kuna shamba heka 10 lipo bwawa la Kihonda mil 3
Kiwanja kipo maeneo ya kionda kama utapenda tunaweza wasiriana ukakione ila bei m3.5
kwani viwanja vingi vinapatikana eneo gani
Ukitaka shamba nipm kuna shamba heka 10 lipo bwawa la Kihonda mil 3
Jamani msaada ukitaka kupost tukio jamiiforun unafanyaje?? Msaada jamani
Bwawa la kihonda ndio bwawa gani mkuu?Ukitaka shamba nipm kuna shamba heka 10 lipo bwawa la Kihonda mil 3