pdozen_nation
Member
- Nov 12, 2015
- 50
- 120
Naitaji kiwanjaa goba kwa bei ya milioni 7 kama kuna mtu anaweza nipatia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbezi sehemu nzuri ni maemeo around safari bar hadi roundabout ya maramba. Bei minimum laki nne mpala sita!
Frame ya 100/150 ni uchochoroni kampelekee boss ulaji lakini ROI ni zero to -ve!ndio nanza biashara kwaiyoo bei nitachemshaa bora nitafute njia ya marambaa nataka 100-150
Kuna kiwanja kizuri 4m mabwe pande...sqm 400Naitaji kiwanjaa goba kwa bei ya milioni 7 kama kuna mtu anaweza nipatia
Mabwepande sehemu gani?Kuna kiwanja kizuri 4m mabwe pande...sqm 400
Umeme na maji vipo njoo ukione kwanza kama upo serious huwezi kukiacha...nichek kwa namba 0684 84 88 01.
Monduli AMabwepande sehemu gani?
Duuh sipajui... mabwepande imekua sana.Monduli A