Natafuta Laini ya Safaricom

GoodDady

Member
Joined
Mar 28, 2019
Posts
91
Reaction score
42
Mwenye laini za safaricom naomba uniambie ulipo nije kununua ukiwa Tanga,Arusha au Dar itapendeza zaidi
 
Nipo kiti cha mbele kabisa Mimi nipo Swax nahitaji laini ya Safaricom
 
ya. y a

kama unatafuta laini ya safaricom kwa minajili ya kudeposit na kuwitdraw kupitia templerfx hiyo Huduma imepigwa stop na hatima take bado haijulikani in bora uchukue ya Uganda au rwanda
Hamna mkuu mm biashara za hvyo sifanyagi kabisa hii laini ni kwaajili kupokelea hela nazofanyia kazi na kampuni za nje (partime jobs)

Sent from my SM-G610L using JamiiForums mobile app
 
Mi nipo makambako nahitaji Sana hiyo laini
 
Laini zipo kuna jamaa anauza elfu 40
Mhhh!! Kumbe biashara nzuri . 40K afu nataka kubetia tu..na betting siku hizi haieleweki.
Bora umeniambia Bei mapema niwe mpole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…