panda uje nikuuzie HP dragon fly 3Nina laki 6 natafuta laptop
Iwe dell, hp au mackbook ndio ninazikubali sana
Iwe na angalau sifa zifuatazo
Ram 8GB
STORAGE - SSD angalau 200 gb
Generation 8+
Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA
Ukubwa wa Kioo uanzie 13 mpaka 16 yaani iwe saizi ya kati sitaki kioo kidogo au kikubwa
Chaji angalau masaa 4
ISIWE YA WIZI
isiwe na kipengele chochote
Weka picha na bei yakopanda uje nikuuzie HP dragon fly 3
Nina laki 6 natafuta laptop
Iwe dell, hp au mackbook ndio ninazikubali sana
Iwe na angalau sifa zifuatazo
Ram 8GB
STORAGE - SSD angalau 200 gb
Generation 8+
Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA
Ukubwa wa Kioo uanzie 13 mpaka 16 yaani iwe saizi ya kati sitaki kioo kidogo au kikubwa
Chaji angalau masaa 4
ISIWE YA WIZI
isiwe na kipengele chochote
Si umebakiwa na chenjiAsanteni nimeshapata
Dogo dogo Acha utani mzeeAsanteni nimeshapata