natafuta lawyer ambae anaweza kunisaidia kulipwa thamani ya mzigo wangu ktk shirika la ethopian air

natafuta lawyer ambae anaweza kunisaidia kulipwa thamani ya mzigo wangu ktk shirika la ethopian air

Kahtan Ahmed

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
765
Reaction score
490
Jamani mm sheria imenipitia kushoto kabisa! na hili shirika la ndege ya ethopian wamenipotezea mzigo wangu wa biashara ndani kulikua na simu za mkononi ambao tathmini yake ni dola 7000 mpaka 8000 za kimarekani so naomba mnisaidie mawazo maana kila siku nafuatilia lakini wananizungusha! kwa maelezo zaidi 0777212220
 
Mkuu unajua hapa wewe uliingia kwenye contract baina yako na hio ndege.., hivyo basi lazima kwenye ticket yako au sehemu yoyote kutakuwa na small prints ambazo mara nyingine zinazema kwamba either mzigo ukipotea haulipwi au unalipwa kiasi fulani.., au ukitaka ulipwe inabidi ukate insurance..

Hivyo basi kabla haujatafuta mwanasheria jaribu kusoma legal terms and conditions kuhusu mizigo yako kwenye hio ndege, nadhani a best route ya kuchukua kwanza ongea nao hao jamaa wenye ndege (huenda kuepuka publicity kwamba hawafai na wanapoteza mizigo ya watu wanaweza wakakulipa amount fulani)

Ila sitashangaa kama ukikuta kwenye terms and conditions ya ticket yako umejifunga kwamba utalipwa amount ndogo au kutokulipwa.., au labda ulitakiwa ukate insurance ili ulipwe up to a certain amount (yaani labda maximum wanayolipa ni usd 500 hata kama umepoteza 100000 usd)

Anyway jaribu labda kupata ushauri pengine lakini issue kama hizi huwa ni contract baina ya mnunuzi na muuzaji na they are bound by the terms and conditions of that contract

Lakini nisikuvunje moyo jaribu kuangalia kwenye documentation walizokupa na receipts kama kuna any legal terms and condition kuhusu upoteaji wa mizigo
 
Mkuu nimecheki hapa terms and conditions za Ethiopian Airline


Notice of Baggage Liability Limitations

Liability for loss, delay, or damage to baggage is limited unless a higher value is declared in advance and additional charges are paid. The Carrier would be liable for damage sustained in case of destruction of, or loss of or damage to checked baggage upon condition only that the event which caused the destruction, loss or damage took place on board the aircraft or during any period within which the checked baggage was in the charge of the Carrier.

However, the Carrier is not liable to the extent that the damage resulted from the inherent defect, quality or vice of the baggage.
For many international journeys, damage to baggage the Warsaw Convention may apply within the liability limits of 17 SDR (approximately USD 20) per kilogram for checked baggage and 332 SDR (approximately USD 400) per passenger for unchecked baggage. Where the Montreal Convention is applicable, subject to satisfactory evidence, the limits of liability shall be within the limit of 1,131 SDR (approximately USD 1,750) per passenger for destruction, loss, damage or delay of all baggage.

Notice of Cargo Liability Limitations
For many international journeys Liability for destroyed, lost, damaged or delayed cargo the Warsaw Convention may apply within the liability limits of 17 Special Drawing Rights( SDR) (approximately USD 27) per kilogram.

Where the Montréal Convention is applicable, the limit of liability is only up to an amount of 19 Special Drawing Rights (SDR) (approximately USD 31) per kilogram.

The limitation of the carrier’s liability in respect of total amount does not apply if the consignor has made, at the time when the package was handed over , a special declaration of interest in the delivery at destination and has paid the requested surcharge. In that case Ethiopian shall pay a compensation for destruction, loss, damage or delay up to the amount of the declared value unless it proves that the sum is higher than the consignor’s actual interest in delivery at destination .

All compensation claims are subject to proof of value. Montréal Convention applies to all carriage to or from the Unites States.

For more information angalia Ethiopian | Policies | Contract of Carriage
 
Back
Top Bottom