Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe anaweza kuongea kiingereza
4: Awe anajua kupika na msafi
5: umri miaka 24-30
SIFA ZANGU HIZI HAPA
1: ELimu Degree
2: umri 31
3: Nimejiriwa
Karibu PM kwa aliyetayari .
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe anaweza kuongea kiingereza
4: Awe anajua kupika na msafi
5: umri miaka 24-30
SIFA ZANGU HIZI HAPA
1: ELimu Degree
2: umri 31
3: Nimejiriwa
Karibu PM kwa aliyetayari .