Natafuta life patner

GoodDady

Member
Joined
Mar 28, 2019
Posts
91
Reaction score
42
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.

1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,

2: Awe anajitambua

3: Awe anaweza kuongea kiingereza

4: Awe anajua kupika na msafi

5: umri miaka 24-30

SIFA ZANGU HIZI HAPA

1: ELimu Degree

2: umri 31

3: Nimejiriwa

Karibu PM kwa aliyetayari .
 
[emoji23][emoji23][emoji23] umejiriwaa,lmaooo
 
Tusiojua kiingereza hatuna chetu hapo
 
Hiyo sifa namba 2 mtu atajipima vp au kuna watu huwa wanajijua hawajitambui?
 
Hii ni aibu kubwa sana kwa wanaume wa Tanzania na duniani kote.

Yaani inavyojulikana ni kuwa wanaume ni natural hunters. Sasa wewe umeshindwa kuwinda hadi unataka usogezewe ule?!

Aisee umetudhalilisha sana wanaume duniani kote.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…