Natafuta lodge au guest house - Tanga mjini 10000 - 15000/=

Natafuta lodge au guest house - Tanga mjini 10000 - 15000/=

yuya

Member
Joined
Nov 7, 2011
Posts
46
Reaction score
7
Jamani naomba msaada wemu. Nitakuwa tanga mjini kwa muda wa mwezi 1. natafuta sehemu ya kufikia. Kwa anayefahamu naomba msaada. Mungu awabariki.
 
Wanaotafuta nyumba za kulala wageni mbona wengi?
 
kwa hela hiyo sidhani inategemea utafika hapa mudagani kama utafika usiku basi chukua usafiri teksi au bajaji wakulete maeneo ya chuda kuna hoteli nyingi na nzuri mfano dolfin, nyinda executive n.k
karibu
 
kwa hela hiyo sidhani inategemea utafika hapa mudagani kama utafika usiku basi chukua usafiri teksi au bajaji wakulete maeneo ya chuda kuna hoteli nyingi na nzuri mfano dolfin, nyinda executive n.k
karibu

Nakushukuru sana Wantuzu kwa msaada wako.
 
Jamani naomba msaada wemu. Nitakuwa tanga mjini kwa muda wa mwezi 1. natafuta sehemu ya kufikia. Kwa anayefahamu naomba msaada. Mungu awabariki.

Kwa hela hiyo ndugu yangu nenda Tanga hotel bei yao haizidi 12,000/- utapata na chai asubuhi. Kama utapenda kwenda pale nyinda andaa kuanzia 20000 kwa siku
 
Nawashukuruni wote mlionipa taarifa. Uzuri wa JF ndio huu. Naandaa safari bila hofu. Mungu awabariki wote.
 
Back
Top Bottom