Natafuta lori la mkataba

Natafuta lori la mkataba

MBWARI

Member
Joined
Sep 8, 2021
Posts
27
Reaction score
782
Habari, Mimi ni mjasiriamali ninajishughulisha na shughuli za uvunaji wa mazao ya msituni.

Ninahitaji lorry kipisi kwa ajili ya shughuli za msituni, hivyo Kama Kuna mtu anaweza kunikopesha kwa makubaliano maalum nitashukuru
 
Msituni tena mkuu
Lorry kulipeleka huko ungeongeza maelezo huko lorry litapita wapi
Je kuna barabara za uhakika maana unaposema msituni kwa kweli kuna mikwaruzo kwenye gari, kuna kuzama au kuanguka kabisa
Funguka zaidi au huna uzoefu bado mkuu
 
Inabidi uongeze maelezo kwenye kiasi gani cha shamba la miti unamiliki, kama ni ya biashara inatakiwa ijulikane unazungusha kiasi gani na mzunguko wako wa pesa benki kwa mwezi ni kiasu gani kutokana na biashara ya miti.

Huko porini itakufaa Howo au Beiben iwe rigid truck (mende/kipisi) yenye axle configuration ya 6×4 au 8×4.
 

Attachments

  • images (12).jpeg
    images (12).jpeg
    28.8 KB · Views: 1
  • images (13).jpeg
    images (13).jpeg
    24.1 KB · Views: 3
Back
Top Bottom