Natafuta lotion ya kuondoa makovu

Rosalie_J

Member
Joined
Jan 6, 2018
Posts
37
Reaction score
50
Kama kichwa cha habari kisemavyo niko na shida ya makovu ya kuungua na moto mwilini mwangu japo si mengi ila huwa yananikosesha amani so nahitaji msaada mtu anayefahamu kitu nachoweza tumia kinisaidie kuondoa haya makovu.
 
.......nikuambie kitu young lady? Wear those scars like a trophy. Been there, and survived... lived to tell the tale. Jikubali...usikose confidence kuhusu jambo ambalo halikuwa ndani ya uwezo wako kuli control.

In future Mungu akikujaalia kupata uja uzito... kuna mawili stretch marks na kuna alama zinazobaki iwapo utapata watoto kwa njia ya operation. Wear those as a trophy too.
 
Thanks for your advise
 
Kwasababu hakuna dawa ya kuondoa makovu ya kuungua na moto mwilini kwa 100%..... Dawa pekee ni kujikubali na kisha pambana na hali yako
 
Njoo PM nikupe twitter acc utatatuliwa shida yako bila malipo
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo niko na shida ya makovu ya kuungua na moto mwilini mwangu japo si mengi ila huwa yananikosesha amani so nahitaji msaada mtu anayefahamu kitu nachoweza tumia kinisaidie kuondoa haya makovu.
Ndugu iv ulifanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…