hamza mahundu
Member
- Dec 20, 2018
- 58
- 116
Zikiwa ndani ya chombo utakazopeleka dukani kwa mtu.Weka kwanza picha ya hizo donati tuzione.
Hili naona wengi hawajalielewa. Hakuna mtu atakayekuletea kitafunwa chochote chenye bangi kwa sababu kukitengeza ni gharama kubwa. Vitafunwa vinavyowekwa bangi ni maalum kwa kuuzia watu maalum na bei yake ni kubwa na gharama ya kuvitengeneza ni kubwa. Hakuna mtu mjinga kiasi cha kutumia eg sh milioni 10 atengeneza donut ambazo atauza sh laki moja. Ili iweje sasa? Wewe umeshaona unga wa cacaine ukichanganywa na unga wa sembe madukani ili kuuzia watu? Inawezekana kukawa na bahati mbaya ya mixup lakini inatokea mara chache mno na siyo kwa kudhamiria.Hazina skanka ndugu?
Weka kwanza picha ya hizo donati tuzione.
Well saidHili naona wengi hawajalielewa. Hakuna mtu atakayekuletea kitafunwa chochote chenye bangi kwa sababu kukitengeza ni gharama kubwa. Vitafunwa vinavyowekwa bangi ni maalum kwa kuuzia watu maalum na bei yake ni kubwa na gharama ya kuvitengeneza ni kubwa. Hakuna mtu mjinga kiasi cha kutumia eg sh milioni 10 atengeneza donut ambazo atauza sh laki moja. Ili iweje sasa? Wewe umeshaona unga wa cacaine ukichanganywa na unga wa sembe madukani ili kuuzia watu? Inawezekana kukawa na bahati mbaya ya mixup lakini inatokea mara chache mno na siyo kwa kudhamiria.
Lini na wapi tuchekiane 0620135671nataka vyenye nyama nyama siku ya bday yangu kama vitumbua mia ntalipa kwa 200
Hamna tatz
Ok hamn shidaTatizo sipo dar
So poatupeane suport wadau sio kuleta maneno ya ovyo kwa kaka mkubwa hapo haipendezi sasa jitu linauliza ina skanka dah ndo mambo gani