blissful.smyl
Member
- Jul 8, 2014
- 11
- 3
Habarini wana jumuiya...naombeni msaada wenu nikitaka mafuta ya alizeti kutoka kiwandani kabisa wanapokamulia hayo mafuta ntapata kwa bei gani aidha kwa litre 5 au 20..na kama kuna mtu ana shughulika na masuala haya kiwandani aniachie mawasilino