B blissful.smyl Member Joined Jul 8, 2014 Posts 11 Reaction score 3 Jul 31, 2014 #1 Habarini wana jumuiya...naombeni msaada wenu nikitaka mafuta ya alizeti kutoka kiwandani kabisa wanapokamulia hayo mafuta ntapata kwa bei gani aidha kwa litre 5 au 20..na kama kuna mtu ana shughulika na masuala haya kiwandani aniachie mawasilino
Habarini wana jumuiya...naombeni msaada wenu nikitaka mafuta ya alizeti kutoka kiwandani kabisa wanapokamulia hayo mafuta ntapata kwa bei gani aidha kwa litre 5 au 20..na kama kuna mtu ana shughulika na masuala haya kiwandani aniachie mawasilino
A Aquous JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 292 Reaction score 86 Aug 1, 2014 #2 mm naweza kukuletea ulipo toka Singida hayajachakachuliwa original lita 5 kwa 15000.
B blissful.smyl Member Joined Jul 8, 2014 Posts 11 Reaction score 3 Aug 5, 2014 Thread starter #3 Mbona bei iko juu galima.. Mie kuna mtu nimepata kwake litre20 kwa 43000