Natafuta Mafuta ya Alizeti

blissful.smyl

Member
Joined
Jul 8, 2014
Posts
11
Reaction score
3
Habarini wana jumuiya...naombeni msaada wenu nikitaka mafuta ya alizeti kutoka kiwandani kabisa wanapokamulia hayo mafuta ntapata kwa bei gani aidha kwa litre 5 au 20..na kama kuna mtu ana shughulika na masuala haya kiwandani aniachie mawasilino
 
mm naweza kukuletea ulipo toka Singida hayajachakachuliwa original lita 5 kwa 15000.
 
Mbona bei iko juu galima.. Mie kuna mtu nimepata kwake litre20 kwa 43000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…