Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Mchek Brother KWakuu kwema? Natafuta mafuta ya mawese kwa anayeuza mengi bei ya jumla
Asanteni
Dah....Mchek Brother K
Upo wapi?na unahitaji kiasi gani?Wakuu kwema? Natafuta mafuta ya mawese kwa anayeuza mengi bei ya jumla
Asanteni
Bado yapo aya mafuta kama yapo na mimi na itaji ata dumu 5 za lita 20Offer yako sh ngapi kwa Lita 5 au Lita 20? Unahitaji kiadi gani? Uko wapi? Unahitaji yenye rangi ama yasiyo na rangi?
Umefanikiwa kupata?Bado yapo aya mafuta kama yapo na mimi na itaji ata dumu 5 za lita 20
Vipi unayo?Umefanikiwa kupata?
Mimi sina ila naweza nikakufanyia mpango uyapate. Yako milima ya usambaraVipi unayo?