balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
Salamu!!
Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa.
Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na procedures za kufa mtu.
Kupitia jukwaa hili nisaidieni jamani anayefahamu mahali au mtu binafsi au hata wajasiriamali wanaofundisha au kujihusisha na usindikaji wa maziwa ili kupata bidhaa mbalimbali kama yoghurt, mtindi, samli n.k niunganisheni nao.
Nisaidieni jamani na mimi nataka kwenda uchumi wa kati.
Nawasilisha.
Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa.
Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na procedures za kufa mtu.
Kupitia jukwaa hili nisaidieni jamani anayefahamu mahali au mtu binafsi au hata wajasiriamali wanaofundisha au kujihusisha na usindikaji wa maziwa ili kupata bidhaa mbalimbali kama yoghurt, mtindi, samli n.k niunganisheni nao.
Nisaidieni jamani na mimi nataka kwenda uchumi wa kati.
Nawasilisha.