Ebu weka vitega uchumi vyako kwanza.
Duh hazitoshi mwenzangu ajipange tena....Ana kibanda cha kuuza vocha za simu,ana Toyo mbili..... ha ha ha ha.
Soma Tangazo mapacha wa kike wajitokeze Nitawaoa wote ila wasijekuwa Watatu Sitowaweza na kama kuna Mabinti wanaopendana Sana yaani mabest friends nao wajitokeze kwenye Interview kama watapita...
Special Offer...Ushauri pia nakaribisha
Nahitaji niwepo kwenye historia ya nchi na Ya Dunia
Sihitaji kukuza jina mimi kwanza ni Undercover sana... Nataka tu ndio mapenzi yangu hayo na si vinginevyo kialisia bebii hebuni PM please unaweza nisaidiaKwa hiyo hutawaoa kwa sababu ya ndoa halisi ni unataka tu kukuza jina, haya na hao watakaojitokeza wana matatizo.
Unamaanisha nini wewe zomba au hujanielewa mimi nina uwezo wa kuwamiliki
Sihitaji kukuza jina mimi kwanza ni Undercover sana... Nataka tu ndio mapenzi yangu hayo na si vinginevyo kialisia bebii hebuni PM please unaweza nisaidia
Soma Tangazo mapacha wa kike wajitokeze Nitawaoa wote ila wasijekuwa Watatu Sitowaweza na kama kuna Mabinti wanaopendana Sana yaani mabest friends nao wajitokeze kwenye Interview kama watapita...
Special Offer...Ushauri pia nakaribisha
Nahitaji niwepo kwenye historia ya nchi na Ya Dunia