Natafuta Mapacha Niwaoe Marafiki wa kike wanaopendana sana

Ndio umeandika nini sasa?? nini maana ya undercover alafu unataka kuoa mapacha!! Nenda shule kwanza!!
Shule ya Nini dogo kama huelewi wewe ndie unahitaji kwenda shule... Unasoma ili upate kazi mbona Punda hajasoma lakini kazi anayo? Ficha upumbavu wako Busara itawale...

Ndukidi samahani sihitaji kakapoa Sorry..
 
Last edited by a moderator:
zomba Basi mimi nitaweka Historia Tanzania kama bado haijawekwa
 
Last edited by a moderator:
Huyu jamaa huenda akawa ana matatizo wewe utaoaje watu ndugu?
 
Kuna namna nyingi za kuwa Kwenye hostoria, Hakuna historia hapo, huo Ni wrndawazimu unakusumbua.


 
Huyu jamaa huenda akawa ana matatizo wewe utaoaje watu ndugu?

Umezaliwa miaka ya Mkapa au Kikwete? kama dini waijua japo kidogo basi kuna Mtu aliitwa Jacob(Yakubu)(Israel) Alishawahi oa madada ndugu jambo la siku nyingi hili wewe ushamba umekujaa sana sana
 
Kuna namna nyingi za kuwa Kwenye hostoria, Hakuna historia hapo, huo Ni wrndawazimu unakusumbua.
sIKIA Bwana Mdogo uttoh2002 tokea ulipomtoroka mama yako kigoma jiji ushalizoea unaanza kutusi wakubwa zako.... wadhani sie hatujui kuwa wewe ni toto la nje a Ndoa!
 
Last edited by a moderator:
Sawa Kaka, maana umeniita mie Bwana mdogo, but still unachosema ni WENDAWAZIMU na UJINGA ..... period ....!
 
Mapacha Jitokezeni Please
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…