mkuu ndesangao ... nimeotesha mipapai zaidi ya miti 200 hapo bagamoyo ya mwanzo kabisa karibu na baobab sec. ninategemea by november nitaanza kupata mavuno ya mwanzo papai ni za kisasa mbegu fupi hutoa papai kubwa yenye round shape .... ninaitunza vizuri sana
mkuu mapapai tunayo miti zaidi ya 200 na tunatarajia kuvuna mwaka huu shamba letu lipo dar hapo kitunda wala hata sio mbali waweza kuni pm au kutumia email muggywan@gmail.com :cool2::dance::majani7: