Mafeking
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 225
- 471
Wasalaam wakuu poleni kwa majukumu ya wiki nzima.
Awali ya yote mimi ni kijana wakiume natafuta marafiki wa jinsia zote umri kuanzia 25 hadi 35, dini yoyote na kabila lolote ambao tunaweza kushare ideas mbali mbali na michongo.
Sifa za marafiki ninao hitaji awe kwenye kada moja wapo kati ya hizi;
1. Mwanasheria
2. IT
3. Law enforcement units
4. Dactari
5. Dalali
6. Mission in town.
Kwa upande wangu mimi nina umri wa 25+.
Post graduate ( Nafanya interns somewhere)
Kwa aliye tayari kindly PM.
Muwe na wikiendi njema!
Awali ya yote mimi ni kijana wakiume natafuta marafiki wa jinsia zote umri kuanzia 25 hadi 35, dini yoyote na kabila lolote ambao tunaweza kushare ideas mbali mbali na michongo.
Sifa za marafiki ninao hitaji awe kwenye kada moja wapo kati ya hizi;
1. Mwanasheria
2. IT
3. Law enforcement units
4. Dactari
5. Dalali
6. Mission in town.
Kwa upande wangu mimi nina umri wa 25+.
Post graduate ( Nafanya interns somewhere)
Kwa aliye tayari kindly PM.
Muwe na wikiendi njema!