Natafuta marafiki wa kike wa kuchat nao

Natafuta marafiki wa kike wa kuchat nao

Usipate tabu ya kutafuta watu usiowajua.
Nenda Mwenge pale kwa wauza nguo za kike, jenga mazoea na mmoja jifanye unauliza tips za biashara ya nguo.

Ukiwa pale jiongeze kwa kumpigia debe mteja akija unatoa customer care nzuri kisha ujiongeze kuchukua namba kwa kila msichana akupendezae machoni na rohoni mwako.
Utachagua uchati na yupi maana ukiwa mwepesi utajaza phonebook yako.
Unachotaka humu ni kusubiri Meli ubungo.
 
Usipate tabu ya kutafuta watu usiowajua.
Nenda Mwenge pale kwa wauza nguo za kike, jenga mazoea na mmoja jifanye unauliza tips za biashara ya nguo.

Ukiwa pale jiongeze kwa kumpigia debe mteja akija unatoa customer care nzuri kisha ujiongeze kuchukua namba kwa kila msichana akupendezae machoni na rohoni mwako.
Utachagua uchati na yupi maana ukiwa mwepesi utajaza phonebook yako.
Unachotaka humu ni kusubiri Meli ubungo.
Asante kwa ushauri wako mkuu.

Ngoja niskilizie humu kwanza, halafu ntaenda mwenge.

Ila inaelekea biashara ya nguo ni nzuri sana.
 
Asante kwa ushauri wako mkuu.

Ngoja niskilizie humu kwanza, halafu ntaenda mwenge.

Ila inaelekea biashara ya nguo ni nzuri sana.
Hapo Magomeni Mikumi wewe sio mtu wa kukaa nje ndio maana unakuja kutafuta marafiki humu.
 
Hapo Magomeni Mikumi wewe sio mtu wa kukaa nje ndio maana unakuja kutafuta marafiki humu.
Huu mtaa wetu sio wa watu kukaa saba nje. Kama umekaa mikumi utagundua kuwa ni mitaa ya wapemba/waarabu, huwa wana tabia fulani hivi ya kujitenga na kukaa ndani.
 
Huu mtaa wetu sio wa watu kukaa saba nje. Kama umekaa mikumi utagundua kuwa ni mitaa ya wapemba/waarabu, huwa wana tabia fulani hivi ya kujitenga na kukaa ndani.
Mimi nilikuwa natulia maskani mitaa ya shule ya Mzimumi. Hao waraabu rangi tu unawaogopa na hao wapemba.

Jitahidi ku socialize kidogo wewe ni mtu wa kujitenga sana ndani.
 
Mimi nilikuwa natulia maskani mitaa ya shule ya Mzimumi. Hao waraabu rangi tu unawaogopa na hao wapemba.

Jitahidi ku socialize kidogo wewe ni mtu wa kujitenga sana ndani.
We unawajua waarabu walivyo wabaguzi mkuu?
 
Back
Top Bottom