Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Nasoma maoni nitachangia baadaeMimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii
ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
Hahahaha, Karibu RDC ,naendelea kusoma maoni ya wachangiaji[emoji16][emoji16][emoji16]...
yes nawataka hao...i wish wajue nipo serious..habari za leo mfanayabiashaea mtoto kulikp wote humu😊😊
Hahahqaa..hao siwahitaji...ndala be
Mkuu Ngoja Nije Kwanza Mengine Nitayajua Huko Huko[emoji23]
Ni njema ,yangu matumaini nawe uwe buheri .Hongera na Mapambano ya biashara
Saivi nachoma mkaa mimi
[emoji4][emoji4]..hahhaa najua ww si wale
Mimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii
ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
😅😅All the best...Mungu ni mwema kwetu sana
Umeangalia Nini We Subiri Niitikie Wito Kwanza Mama
Hahahaha, we una biashara gani RafikiHongera best.
Hahahaa SMH
Njoo imbox Dada, Mimi nlikua Blocker wa Dhahabu. Niliacha na kwenda kusoma lakn kwa sasa nipo tayar kwa kuanza kaz. Njoo tuongee mengi na kubadilishana mawazoMimi ni mwanamke mjasiriamali. Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!
Nauza mboga za majani Mchicha,matembele.Hahahaha, we una biashara gani Rafiki
Hahahaha, safi Sana , uhakika wa kuuza kila siku, naomba nije PM napenda sana mboga za majaniNauza mboga za majani Mchicha,matembele.