Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
-
- #81
Kuna kila dalili ya kutapeliana humu.
Nakuelewa sasa ,hapo Tz , gramu 1, $ ngapi ? Nikuunganishe huku porini kwanguHahaha mm hoja yangy ni kupata netwek zaidi...so mm km mm nimejitosheleza..just netwek mkuu
Hahahaha, sasa hy network itakuaje km huna haja ya kuonana na MTU[emoji4][emoji4][emoji4]..sawa..bora umeona kwa jicho kali...sinanht damu ya utapeli..point yangu huenda hujaielewa....!mie sio tapeli ..wala ht haja ya kukutana na mtu sio kmnunavyohis lol..pole sana
Hahaha okHahahaha, njoo PM nikupe mbinu
Ni biashara nzuri ,ila ina changamoto nyingitatizo rule of the game yaa hii biashara haiko costant,nasikia sikuhizi kuna maduka ya serikali ya kununua madini,na hapa utakuta TRA wamekaa standbay,ngoja nisubiri maoni ya wadau kama watanishawishi na hii busy
Hahahaha, milioni 1 ni sawa na $ NGAPI ? sidhani km utapata hata gramu 20 ,ila sio mbaya, mwanzo mgumuHahaha ok
Mkuu kwahyo unatushauri tuwe na $ ngp kwa kuanzia??Hahahaha, Ukiipata jibu ni tag
Nakuelewa sasa ,hapo Tz , gramu 1, $ ngapi ? Nikuunganishe huku porini kwangu
Jua kwanza gramu moja ni $ ngapi huko inakotoka, na je kimataifa ni $ ngapi kwa gramu 1 , piga hesabu mwenyeweMkuu kwahyo unatushauri tuwe na $ ngp kwa kuanzia??
[emoji4][emoji4][emoji4]..sawa..bora umeona kwa jicho kali...sinanht damu ya utapeli..point yangu huenda hujaielewa....!mie sio tapeli ..wala ht haja ya kukutana na mtu sio kmnunavyohis lol..pole sana
inategemea..lakini huku migodin 65-70..mjin inategemea na purity ..kuna mzee baba m1 anapeleka Kenya..lakini hanipi ushirikiano...niunge tu mzee baba..maisha popote
HahahahaSijamanisha wewe tapel dada ila ishu za madini zina matapel wengi mno waweza ukatafuta partner ukapata tapel
65 - 70 in $ au ?
Sijamanisha wewe tapel dada ila ishu za madini zina matapel wengi mno waweza ukatafuta partner ukapata tapel
Hahahaha, sasa hy network itakuaje km huna haja ya kuonana na MTU