Natafuta marafiki walioathirika na UKIMWI (HIV Positive)

Mchagua jembe sio mkulima.... Eti kuanzia kiwango gani cha elimu? Unadhani kiwango cha elimu kinaweza kuwa kipimo sahihi cha upeo wa mtu? Anyways but i always hate such kind of option
 
Nahitaji beby girl wa kumuoa ambae yupo kweny matumizi ya dawa za kufubaza virus vya ukimwi ninapatikana Daressalaam umri wangu ni miaka 30
 
Nakupa ushauri nasaha kabisa kila kitu kujaribu kuna mzee mmoja hapa dodoma anatibu ukimwi njoo uanze kutumia dawa zake hakika utajuta ukiwa tayari niPM nitakusaidia wamepona wengi ana gharama kabisa kwa kuwa umejitangaza nitakulipia gharama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…