Unataka uchukue mawazo yao mazuri uwape ya kwako au? Sijaelewa mkuu!Habari
natafuta marafiki wakubadirishana mawazo especially wanachuo lengo nikubadirishana mawazo
hapana ujue tunashare ideasUnataka uchukue mawazo yao mazuri uwape ya kwako au? Sijaelewa mkuu!
Nasoma MASTERS UDSM nije au nikaushe niendelee na haya mabibi ya humu class
Sijaelewa nije PM au nisubiri kwanza?ahahah sawa tu
Hapana, ni kwa wanachuo tuMimi sijafika chuo naruhusiwa kua rafiki yako?
Basi nimeshakosa rafikiHapana, ni kwa wanachuo tu
Mwanachuo nakufunzaHabari
natafuta marafiki wakubadirishana mawazo especially wanachuo lengo nikubadirishana mawazo
Nyie pepo yenu iko kwangu, nawahitaji binafsiMashangazi Je?
Sio Mimi mkuuHv mkuu ile simulizi yako ya ukahaba wa kishua ulimaliza, au nimechanganya madesa sio ww?
npo hpHabari
natafuta marafiki wakubadirishana mawazo especially wanachuo lengo nikubadirishana mawazo
Noma kilo 2 na Nusunotes za sociology
Kihasibu zaidi 🫡Nimekutumia namba pm
We Luka hakutoshiMimi sijafika chuo naruhusiwa kua rafiki yako?