Natafuta marafiki

Haya mi nimekupokea kwa mikono, miguu, kichwa, tumbo (Kama hadithi ya zamani ya sungura)
hahahah!! M'Jr usinfurahshe kwa kunkumbusha hadith za sungura kile kiumbe hakijatulia:clap2::clap2:
 
hahahah!! M'Jr usinfurahshe kwa kunkumbusha hadith za sungura kile kiumbe hakijatulia:clap2::clap2:
Sio kama kimetulia sana na ndio maana kilikuwa kinafanya maneno makubwa dhidi ya mshikaji wake fisi!
 
Sio kama kimetulia sana na ndio maana kilikuwa kinafanya maneno makubwa dhidi ya mshikaji wake fisi!
mmmh sungura kazidi mbwembwe!! but anafurahsha zaid ya fisi!!
 
Mi mzima bukheri wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu (Barua za kizamani)
hhhaaahhahahahahahh!!!!!!!!lol wazee wa zamani nao hawavumi lakiiini!! .......!!!!!!!
 
hhhaaahhahahahahahh!!!!!!!!lol wazee wa zamani nao hawavumi lakiiini!! .......!!!!!!!
Unajua zamani kila kitu kilikuwa kinakwenda systematic so hata muundo wa barua za "Mapenzi" ulikuwa na fomulae
 
Unajua zamani kila kitu kilikuwa kinakwenda systematic so hata muundo wa barua za "Mapenzi" ulikuwa na fomulae
hahahahhaah!!!!! but ilikuwa raha nkikumbuka barua nliyokuwa na andikiwa eti "embe dodo la barua hii ni kukujulia hali" mi full kuchoka!!
 
hahahahhaah!!!!! but ilikuwa raha nkikumbuka barua nliyokuwa na andikiwa eti "embe dodo la barua hii ni kukujulia hali" mi full kuchoka!!
Hahahahaaa "Embe dodo" Haya bhana isijekuwa wengine walikuwa wanaandika sukari guru, asali na tende au maziwa....Lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…