princess enny
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 1,038
- 379
- Thread starter
-
- #21
hahahah!! M'Jr usinfurahshe kwa kunkumbusha hadith za sungura kile kiumbe hakijatulia:clap2::clap2:Haya mi nimekupokea kwa mikono, miguu, kichwa, tumbo (Kama hadithi ya zamani ya sungura)
nsha kuadd my friend kijembehaya namimi uniadd basi
asante ganguji!! mzima wewe!!??Karibu
Sio kama kimetulia sana na ndio maana kilikuwa kinafanya maneno makubwa dhidi ya mshikaji wake fisi!hahahah!! M'Jr usinfurahshe kwa kunkumbusha hadith za sungura kile kiumbe hakijatulia:clap2::clap2:
mmmh sungura kazidi mbwembwe!! but anafurahsha zaid ya fisi!!Sio kama kimetulia sana na ndio maana kilikuwa kinafanya maneno makubwa dhidi ya mshikaji wake fisi!
mambo!!!!!! princess enny natafuta marafk!! aliye tayari ani add
Cha wote na cha wageni eeh!mmmh sungura kazidi mbwembwe!! but anafurahsha zaid ya fisi!!
pouwa bestito nakshi nshakupokea!!! mzima weye!!??napenda marafiki naku add au sio?
umeona enhee!! wote wakal lakin!! but my friend mzima wewe!!??Cha wote na cha wageni eeh!
Mi mzima bukheri wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu (Barua za kizamani)umeona enhee!! wote wakal lakin!! but my friend mzima wewe!!??
hhhaaahhahahahahahh!!!!!!!!lol wazee wa zamani nao hawavumi lakiiini!! .......!!!!!!!Mi mzima bukheri wa afya, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu (Barua za kizamani)
Unajua zamani kila kitu kilikuwa kinakwenda systematic so hata muundo wa barua za "Mapenzi" ulikuwa na fomulaehhhaaahhahahahahahh!!!!!!!!lol wazee wa zamani nao hawavumi lakiiini!! .......!!!!!!!
hahahahhaah!!!!! but ilikuwa raha nkikumbuka barua nliyokuwa na andikiwa eti "embe dodo la barua hii ni kukujulia hali" mi full kuchoka!!Unajua zamani kila kitu kilikuwa kinakwenda systematic so hata muundo wa barua za "Mapenzi" ulikuwa na fomulae
Hahahahaaa "Embe dodo" Haya bhana isijekuwa wengine walikuwa wanaandika sukari guru, asali na tende au maziwa....Lol!hahahahhaah!!!!! but ilikuwa raha nkikumbuka barua nliyokuwa na andikiwa eti "embe dodo la barua hii ni kukujulia hali" mi full kuchoka!!
asante sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!rafiki tu umepata
urafki gani huo!!!??????vp wapenda pia 'urafiki wene manufaa' ?
teh teh teh!! mi nsha kubracket!!!!!!!mi nimekumultiply kabisa