Natafuta marafiki

Natafuta marafiki

Mkwanga

Senior Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
146
Reaction score
20
Natafuta marafiki wa kuchat nao jinsia yoyote kama upo kwenye what'sapp namba yangu 0758504970
 
Natafuta marafiki wa kuchat nao jinsia yoyote kama upo kwenye what'sapp namba yangu 0758504970

Ku-chat tu! jinsia yeyote.., kuchat chochote tu?!
Mkuu inaelekea una muda mwingi wa kuchezea?!
Je una jambo lolote common (la maana) ambalo ungependa labda unae-chat nae awe nalo pia?!
Kila la heri!!
 
Achana na mambo ya kuchat ovyo kama zezeta,tafuta shughuli ya kukuweka bussy.
 
Nimemuona jamani, si mnajua WhatsApp haina privacy. Yaani ukisevu namba ya mtu nenda kwenye contacts zake huyo mtu unamuona. Then na delete contact. Ndio mchezo huo hata makampuni yanatumia kucheki mtu. Mie yangu sura ni no no no. Hata watu wakitumwa kukushughulikia na mtu hii kitu inasaidia wanakuona sura. Mmmmhhh habari ndio hiyo.
 
Nimeshakuadd, subiri mtitiriko wa messages.
 
Back
Top Bottom