Baraker_88
Member
- Nov 7, 2021
- 35
- 88
Habari wakuu,
Samahani naomba kufahamu hivi kuna mashine za kufyatulia matofari ya blocks zinazotumia umeme wa single phase? Maana asilimia kubwa vijijini kuna umeme wa single phase, na kama zipo, gharama yake inaweza kuwa Tshs ngapi?
Natanguliza shukrani
Samahani naomba kufahamu hivi kuna mashine za kufyatulia matofari ya blocks zinazotumia umeme wa single phase? Maana asilimia kubwa vijijini kuna umeme wa single phase, na kama zipo, gharama yake inaweza kuwa Tshs ngapi?
Natanguliza shukrani