HPAUL JF-Expert Member Joined Jan 18, 2011 Posts 410 Reaction score 567 Mar 22, 2014 #1 Anayefahamu wapi zinapatikana mashine za kuchanganyia unga (kukanda) zisizotumia umeme. Uwezo na bei za mashine hizo ni muhimu
Anayefahamu wapi zinapatikana mashine za kuchanganyia unga (kukanda) zisizotumia umeme. Uwezo na bei za mashine hizo ni muhimu
kijana13 JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 1,981 Reaction score 3,631 Mar 22, 2014 #2 Unataka ya kutumia nishati gani? Mkono?? Then yakukanda kg ngapi?
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Mar 22, 2014 #3 Sijawahi kuona ya gas. Labda zipo lakini.
HPAUL JF-Expert Member Joined Jan 18, 2011 Posts 410 Reaction score 567 Mar 22, 2014 Thread starter #4 kijana13 said: Unataka ya kutumia nishati gani? Mkono?? Then yakukanda kg ngapi? Click to expand... Mashine ya mkono yenye angalau uwezo wa kukanda 20 kg kwa mara moja.
kijana13 said: Unataka ya kutumia nishati gani? Mkono?? Then yakukanda kg ngapi? Click to expand... Mashine ya mkono yenye angalau uwezo wa kukanda 20 kg kwa mara moja.
LEGE JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 5,122 Reaction score 9,209 Mar 24, 2014 #5 PAULN said: Mashine ya mkono yenye angalau uwezo wa kukanda 20 kg kwa mara moja. Click to expand... MKUU ukiipata au ukipata details zake naomba unidokeze na Mimi japo hata kwa SMS tuu
PAULN said: Mashine ya mkono yenye angalau uwezo wa kukanda 20 kg kwa mara moja. Click to expand... MKUU ukiipata au ukipata details zake naomba unidokeze na Mimi japo hata kwa SMS tuu
Maundumula JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 7,553 Reaction score 3,081 Mar 24, 2014 #6 Inamaanisha unataka nguvu kazi ambayo ni watu ama?
Jerrymsigwa JF-Expert Member Joined Jun 23, 2012 Posts 14,084 Reaction score 8,384 Mar 24, 2014 #7 Unataka ya kutumia mkono? Khaa labda za kutoka sido na veta Sent from Nokla using Jf app