Azul
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 647
- 1,349
Habari ya leo Jumapili,
Natumaini tuko sawa wote, wenye changamoto zozote poleni sana.
Natafuta mashine ya kukatia viazi, kwa ajili ya kutengeneza Crips.
Ningependa kujua bei, na inapopatikana au connections yoyote.
Nipo kanda ya ziwa, unaweza kuja DM au sms/text kupitia 0743051733
Natumaini tuko sawa wote, wenye changamoto zozote poleni sana.
Natafuta mashine ya kukatia viazi, kwa ajili ya kutengeneza Crips.
Ningependa kujua bei, na inapopatikana au connections yoyote.
Nipo kanda ya ziwa, unaweza kuja DM au sms/text kupitia 0743051733