K kikaniki JF-Expert Member Joined Nov 20, 2014 Posts 508 Reaction score 968 Feb 12, 2024 #1 Wadau..natafuta mashine ya kutengeneza/kukata crips za ndizi. Mashine iwe ya umeme na iwe inafaa kwa mjasiriamali mdogo. Isiwe heavy duty. Mwenye connection naomba contact za wauzaji.
Wadau..natafuta mashine ya kutengeneza/kukata crips za ndizi. Mashine iwe ya umeme na iwe inafaa kwa mjasiriamali mdogo. Isiwe heavy duty. Mwenye connection naomba contact za wauzaji.
Mr Chromium JF-Expert Member Joined Aug 20, 2020 Posts 2,761 Reaction score 3,835 Jul 11, 2024 #3 Tuwekee ulichokua unatumia kabla ya kununua mashine