Natafuta masoko ya jumla

Johnyy

Member
Joined
Dec 21, 2018
Posts
93
Reaction score
39
Hlw wana jf, natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa nafasi ya uhai, mimi ni kijana mkulima wa papai za kisasa mbegu ya karina na malkia miche 400 shamba lipo Tanita Kibaha.

Kwa mawasiliano waweza nichek Whatsapp au kunipigia kwa namba 0686301689 mbarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…