Mpunga njoo Mwanza Nina tani 5 za mpunga mpya.Wakuu habari.
Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo ningependelea masoko yale naweza kwenda nunua tani kazaa na kusafirisha
Mfano:
Dodoma - Kibaigwa
Ningependelea mikoa ya kusini na kati mfano Ruvuma, Njombe, Mbeya, Iringa, Rukwa, Dodoma, hata Tabora au Shinyanga.
Huwezi kupata sehemu ya kununua mpunga kiurahisi tanzania labda mchele ifakara,mbeya n.kMimi nataka soko mkuu. Hata kesho mzigo ukiisha naweza pata kiurahisi.
mashineni hata ukitaka tani 100 unapataMbeya kuna masoko yanauza kwa jumla au lazima uende kwa jamaa wenye mashine za kukoboa mpunga.
Nipatie namba yako mdau hapa mahindi 50000 juniaWakuu habari.
Katika kujiongeza nataka nianze biashara ya kununua nafaka hasa mahindi, mpunga na maharage na kuja kuuza kwa jumla Dar. Naombeni mwongozo kwa anayejua masoko makubwa nayo weza nunua mzigo mkubwa kwa mara moja. NB naona kwenda moja kwa moja kwa wakulima itanichukua muda kwa hiyo ningependelea masoko yale naweza kwenda nunua tani kazaa na kusafirisha
Mfano:
Dodoma - Kibaigwa
Ningependelea mikoa ya kusini na kati mfano Ruvuma, Njombe, Mbeya, Iringa, Rukwa, Dodoma, hata Tabora au Shinyanga.
Usafiri upo mkuu kwa mtu anae taka kuleta kageraNjoo Ngara gunia la mahindi kilo 100 ni 35,000
Junia??Nipatie namba yako mdau hapa mahindi 50000 junia