Natafuta matured woman any age kwaajili ya kustarehe

Natafuta matured woman any age kwaajili ya kustarehe

ilisha juniour

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
714
Reaction score
219
kwa ufupi nina kazi na kipato changu naridhika nacho,naishi peke yangu sijaoa na sina mtoto,umri wangu miaka 26.elimu degree,sina plan yoyote ya kuoa au kupata mtoto nahtaji kustarehe tu,huo ndo ukweli nina stress nyingi sana nimepata toka kwenye mahusiano ndo maana nikasema nahitaji matured woman,kwa aliye tyar ani pm ntampa namba ya simu,
 
una akili wewe....unatafuta wa gud tym tuu mwanawane...safi sana
 
matured woman maana yake nini?unakusudia mwanamke wa makamo? kama ndo hivyo kuna bibi mmoja hapa mtaani naye nimemsikia anatafuta mtu wa kula naye good time ila awe na kakipato ka kuridhisha.kwa umri wake wa miaka 82; naamini she is mature enough.kama vipi ni pm nikuunganishe.
 
pole sana kwa mambo yaliyokusababisha kuwa na stress ya namna hiyo. Ila uamuzi wako wa kutafuta mtu wa kustarehe naye si uamuzi mzuri. Ebu muombe Mungu akuondolee stress kwanza, samehehe kutoka ndani na kama huwezi kusamehe Muombe Mungu akupe moyo wa msamaha. Na kama ni wewe ndiyo ulikosea, omba msamaha kwa dhati ili huyo mtu akusamehe.

Baada ya hayo najua utapata amani ya kweli, kisha funga na kuomba mwambie Mungu akupe mke mwema na mwenye busara, ni vema ukaoa kuliko kupata mtu wa kustarehe naye haitakusaidia badala yake utaongeza stress maana huwezi jua huyo unayehitaji kustarehe naye atakuwa wa namna gani, ukishindwa kabisa basi tafuta watumishi wa Mungu watakuombea.

Nakutakia kila la kheri
 
pole sana kwa mambo yaliyokusababisha kuwa na stress ya namna hiyo. Ila uamuzi wako wa kutafuta mtu wa kustarehe naye si uamuzi mzuri. Ebu muombe Mungu akuondolee stress kwanza, samehehe kutoka ndani na kama huwezi kusamehe Muombe Mungu akupe moyo wa msamaha. Na kama ni wewe ndiyo ulikosea, omba msamaha kwa dhati ili huyo mtu akusamehe.

Baada ya hayo najua utapata amani ya kweli, kisha funga na kuomba mwambie Mungu akupe mke mwema na mwenye busara, ni vema ukaoa kuliko kupata mtu wa kustarehe naye haitakusaidia badala yake utaongeza stress maana huwezi jua huyo unayehitaji kustarehe naye atakuwa wa namna gani, ukishindwa kabisa basi tafuta watumishi wa Mungu watakuombea.

Nakutakia kila la kheri
asante
 
kwa ufupi nina kazi na kipato changu naridhika nacho,naishi peke yangu sijaoa na sina mtoto,umri wangu miaka 26.elimu degree,sina plan yoyote ya kuoa au kupata mtoto nahtaji kustarehe tu,huo ndo ukweli nina stress nyingi sana nimepata toka kwenye mahusiano ndo maana nikasema nahitaji matured woman,kwa aliye tyar ani pm ntampa namba ya simu,


Dogo!!!!....Oa acha kufikiria anasa utapotea.....
 
Hakuna ulazima wa kumtukana, kama huna la kuchangia unasoma na kusepa kimya kimya!
mtu anakuja na mada anatafuta mwanamke wa kustarehe naye eti sisi tushabikie upuuzi wanamna hii ningekuwa na uwezo ninge mbani mtu wanamna hii
 
Back
Top Bottom