Fahad mayai
Member
- Dec 17, 2019
- 27
- 11
Natafuta mayai ya kisasa kwa wakazi wa Dar au maeneo ya karibu na Dar, yawe hayajakaa muda mrefu na size iwe nzuri.
Shamba nafata mwenyewe bei ya mfugaji sitaki wauzaji wa jumla, mfugaji awe na tray kuanzia 300 kwenda juu.
Mawasiliano ; 0625602775
Shamba nafata mwenyewe bei ya mfugaji sitaki wauzaji wa jumla, mfugaji awe na tray kuanzia 300 kwenda juu.
Mawasiliano ; 0625602775