Mkulima Mkulima
New Member
- Sep 11, 2019
- 1
- 0
Habarini wana jukwaa.
Wanajukwaa naombeni msaada, mimi natafuta mbegu bora ya mpunga (iliyonzuri kibiashara).
Naomba mnisaidie kujua ni kampuni lipi linazalisha, libapatina wapi na mawasiliano yake.
pili, nakaribisha mtu yeyote mwenye ufahamu na ushauri juu ya mbegu ipi ya mpunga ni nzuri sana kibiashara.
Napatikana Morogoro.
Asanteni.
Wanajukwaa naombeni msaada, mimi natafuta mbegu bora ya mpunga (iliyonzuri kibiashara).
Naomba mnisaidie kujua ni kampuni lipi linazalisha, libapatina wapi na mawasiliano yake.
pili, nakaribisha mtu yeyote mwenye ufahamu na ushauri juu ya mbegu ipi ya mpunga ni nzuri sana kibiashara.
Napatikana Morogoro.
Asanteni.