Natafuta mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa na Nguruwe Njombe mjini

Natafuta mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa na Nguruwe Njombe mjini

Kiebuta

Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
36
Reaction score
190
Habari za asubuhi wanajamvi, mimi ni kijana niliyeamua kujikita katika ufugaji kama njia mbadala ya kujiongezea kipato.
Nilianza na nguruwe 6 ambao wanaendelea vizur (wale wenye mabaka meusi).

Naomba kwa yeyote anayefaham n wap maeneo ya Njombe naweza pata mbegu bora za nguruwe hasa wale weupe, na Ngombe wa maziwa pia anijulishe.
 
Mbegu bora ya nguruwe mtafute huyu jamaa +255789412904 au 0754393838 anaitwa Paul (Malafyalepigfarm) unaweza kutembelea Facebook au Instagram.
 
Nguruwe nenda Uwemba Mission au Ilimiwaha Sisters na Ng'ombe nenda CEFA milk factory kama utakua tayari kuingia kama mshirika au Ilimiwaha Sisters watakusaidia kwa hilo pia
 
Mbegu bora ya nguruwe mtafute huyu jamaa +255789412904 au 0754393838 anaitwa Paul (Malafyalepigfarm) unaweza kutembelea Facebook au Instagram.
Asante kwa kunipa mawasiliano yake,
 
Nguruwe nenda Uwemba Mission au Ilimiwaha Sisters na Ng'ombe nenda CEFA milk factory kama utakua tayari kuingia kama mshirika au Ilimiwaha Sisters watakusaidia kwa hilo pia
Asante,
 
Mbegu bora ya nguruwe mtafute huyu jamaa +255789412904 au 0754393838 anaitwa Paul (Malafyalepigfarm) unaweza kutembelea Facebook au Instagram.
[/QUOT

Asante, umenisaidia na mimi, ngoja nimpigie nipate mawili matatu
 
Back
Top Bottom