Natafuta mbegu ya miche ya mchongoma

Natafuta mbegu ya miche ya mchongoma

BabuLeo

Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
29
Reaction score
13
Habari wadau. Nahitaji kupanda michongoma kama fensi kuzunguka eneo langu la kama ekari moja na nusu hivi.

Eneo liko mlandizi kama kuna mtu ana mbegu au miche naomba tuwasuliane pia naomba maoni ya namna Bora ya kupanda hii kama fensi.

Pia kama kuna mtu anajihusisha na haya mambo yuko tayari kufanya kazi ya kupanda Kwa malipo tuwasuliane.
 
Kuna msimu michongomo hutoa matunda zile mbegu zinakuwaga kero sana
 
Habari wadau. Nahitaji kupanda michongoma kama fensi kuzunguka eneo langu la kama ekari moja na nusu hivi.

Eneo liko mlandizi kama kuna mtu ana mbegu au miche naomba tuwasuliane pia naomba maoni ya namna Bora ya kupanda hii kama fensi.

Pia kama kuna mtu anajihusisha na haya mambo yuko tayari kufanya kazi ya kupanda Kwa malipo tuwasuliane.
Nipigie0712505049 ndio shughuli zetu hiz
 
Back
Top Bottom