mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Wakuu nina eneo la robo tatu eka Morogoro maeneo ya Nanenane karibu na shule ya sekondary Tubuyu. Ni eneo lililopimwa na documents zake ninazo. Kwa sasa nimelizungushia ukuta lote na kuweka geti kabisa nikaishiwa fedha - so it's well secured! Ni eneo zuri linalofaa kwa biashara ya:
1.Hostel
2.Apartments
3.English medium school, chuo/training centre mfano computer/secretarial services n.k
4.Guest house
5.Bar
6.Ukumbi
NB: Hivi vitatu vya mwisho eneo linatosha kukaa vyote kwa pamoja
Kwa kuwa kwa sasa sina uwezo wa kifedha, naplan kuweka kuku (broilers, layers na wakienyeji) - maoni ya wadau hapa JF yameni-impress sana!
Ila natafuta mtu/taasisi tuweze kuingia ubia tuwaangalie uwezekano wa kufanya hizo biashara nilizotaja 1-6 hapo juu.
Tutawekeana mikataba ya kisheria ili kila upande uwe na peace of mind.
Karibu tuunganishe nguvu! Aliye serious tuwasiliane kwa PM
1.Hostel
2.Apartments
3.English medium school, chuo/training centre mfano computer/secretarial services n.k
4.Guest house
5.Bar
6.Ukumbi
NB: Hivi vitatu vya mwisho eneo linatosha kukaa vyote kwa pamoja
Kwa kuwa kwa sasa sina uwezo wa kifedha, naplan kuweka kuku (broilers, layers na wakienyeji) - maoni ya wadau hapa JF yameni-impress sana!
Ila natafuta mtu/taasisi tuweze kuingia ubia tuwaangalie uwezekano wa kufanya hizo biashara nilizotaja 1-6 hapo juu.
Tutawekeana mikataba ya kisheria ili kila upande uwe na peace of mind.
Karibu tuunganishe nguvu! Aliye serious tuwasiliane kwa PM