Jenseny
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 1,743
- 1,738
Kama nlivyosema ni mkulima lakini pia ninaweza kuwa dalali kwa huu muda ninaosubiria kuvuna nahitaji mtu mwenye interest ya kuwekeza kwenye uchuuzi wa matikiti kupeleka Nairobi au Zanzibar
sifa
awe na mtaji kuanzia mill 1
awe anaweza kufanya kazi kwenye mazingira yyte
awe na passport au awe ameshawahi kufika hata Unguja
awe mwelewa aelewe kuwa kila biashara ina faida na hasara zake
Faida za kuwa mbia na me Matikiti ya kwanza tutauza ya kwangu nliyolima so mtaji wa kwanza utakaotupa xperience ni wangu
kwa maelezo zaidi Ni pm
sifa
awe na mtaji kuanzia mill 1
awe anaweza kufanya kazi kwenye mazingira yyte
awe na passport au awe ameshawahi kufika hata Unguja
awe mwelewa aelewe kuwa kila biashara ina faida na hasara zake
Faida za kuwa mbia na me Matikiti ya kwanza tutauza ya kwangu nliyolima so mtaji wa kwanza utakaotupa xperience ni wangu
kwa maelezo zaidi Ni pm